• Breaking News

    ROHO MTAKATIFU PART II

        UWEZO ALIONAO ROHO MTAKATIFU

    Roho Mtakatifu huachilia macho ya rohoni/macho ya kiroho, Tunasoma katika kitabu cha Efeso 1:17_19, na  1Wakoritho 2:9_14

    1Wakoritho 2:9_14



    ROHO MTAKATIFU ANAPOKUWA NDANi YAKO

    1.Humleta mtu kwenye wokovu na kumshuhudia rohoni kosa, Tunasoma katika Yohana,  Yohana 16:8


    2.Huleta kuzaliwa mara ya pili, Aya Tunasoma katika kitabu cha Tito 3:5_8, Efeso 2:1, Yohana 6:6

    Tito 3:5_8

    Efeso 2:1

    Yohana 6:6


    3.Utupa uhakika wa ndani kuhusu Mungu/Utushuhudia ukweli kuhusu Mungu,.  Rumi 8:16-17, 1Yohana 5_7_9

    Rumi 8:16_17

    1Yohana 6:7_9

    4.Hutupa nguvu ya kuishi maisha matakatifu, Yohana Yohana 16:13






    5.Hutufundisha mambo yote, Roho Mtakatifu utufundisha mambo ata ambayo atuyafahamu ,  Yohana 14:26 Neno la Mungu linatuaambia hivi




    I

    6.Huuisha miili yetu, Roho Mtakatifu huimarisha miili yetu, Rumi 8:11

    7.Hutupatia nguvu kwa ajiri ya Huduma, Rumi 1:8_11

    8.Huachilia nguvu ya maombi, Tunasoma katika bibilia , Rumi 8:26


    , na Efeso 6:8

    9.Huachilia msukumo wa ibada, Matendo 2:11, Yohana 4:24


    Yohana 4:24

    10. Huleta tunda la Roho, Galatia 5:22_23, Neno la Mungu linasema

    Ayo Ni baadhi ya Mambo kuhusu Roho Mtakatifu, usichoke kufatilia blog yetu pendwa, Godlovemedia.blogsport.com, Pia usiache kutoa maoni yako kwenye blogs hii, kwa Mawasiliano zaidi tunapatikana kwa namba 0755555070, au 0752390465 karibu.

    No comments